PSSSF Jihudumie
Mwanachama wetu anaweza kupata huduma zetu mtandaoni.
HABARI MPYA
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA USTAWI NA MAENDELEO YA JAMII YAIIPONGEZA PSSSF KWA UWEKEZAJI WA KLICL
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakiwa katika ziara ya kutembelea Kiwanda cha Ngozi cha kimataifa cha Kilimanjaro (KLICL) kinachozalisha Bidhaa za Ngozi leo Machi 13, 2026 Mkoani Kilimanjaro.











