PSSSF Jihudumie
Mwanachama wetu anaweza kupata huduma zetu mtandaoni.
HABARI MPYA
KIWANDA CHA KLICL KITATENGENEZA FAIDA KUBWA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akiangalia viatu vinavyotengenezwa na kiwanda cha KLICL cha Moshi mkoani Kilimanjaro.