PSSSF YAIMARISHA USHIRIKIANO NA PDPC KATIKA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI
Meneja Matekelezo Bw. Edgar Shumbusho akipokea Tunzo ya Udhamini na Ushirikiano kutoka kwa Bi.Fatma Kalovya Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari katika Kongamano la Kwanza la Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi.
July 1, 2026