• Call Free: 0800 110040
  • Portal Admin Form
 
  • Change Language: SW
 
  • Enquiries
  • FAQs
  • Home
  • About PSSSF
    • About Us
    • Organisation Offices
    • Board of Trustees
    • Management
  • Benefits
    • Retirement Benefit
    • Death Benefit
    • Survivor Benefit
    • Maternity Benefit
    • Unemployment Benefit
    • Sickness Benefit
    • Invalidity Benefit
  • Media Center
    • News
    • Publications
    • Photo Album
    • Video
  • Self Service
    • Member Portal
    • Billing Portal
    • QR-Codes
    • Portal Admin Form
  • Investments
    • Real Estate
    • Industial Investment
  • Tenders
    • General Procurement Notice
    • Awarded
    • Current Tender
  • e- Mrejesho
 
  Home   |   News Board
author image

PSSSF

To provide high quality social security services using competent, motivated staff and appropriate technology.

Benefit Types

  • Retirement Benefit
  • Death Benefit
  • Survivour Benefit
  • Maternity Benefit
  • Unemployment Benefit
  • Sickness Benefit
  • Invalidy Benefit

Online Services

  • Member Portal
  • Billing Portal
  • QR-Codes
PSSSF YAPEWA TUZO YA KIMATAIFA
2023-05-31 00:00:00

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Umepewa tuzo na Taasisi ya Kimataifa ya Hifadhi ya Jamii (International Social Security Association-ISSA) kutokana na mafanikio iliyoyapata katika kipindi kifupi baada ya kuunganishwa (Merge) kwa mifuko minne ya Hifadhi ya Jamii ya PSPF, PPF, GEPF NA LAPF na kuwa PSSSF

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Umepewa tuzo na Taasisi ya Kimataifa ya Hifadhi ya Jamii (International Social Security Association-ISSA) kutokana na mafanikio iliyoyapata katika kipindi kifupi baada ya kuunganishwa (Merge) kwa mifuko minne ya Hifadhi ya Jamii ya PSPF, PPF, GEPF NA LAPF na kuwa PSSSF.

Akizungumzia tuzo hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, CPA. Hosea Kashimba, alisema sababu nyingine iliyoifanya ISSA kutoa tuzo kwa Mfuko huo ni pamoja na jinsi Mfuko ulivyoweza kupunguza gharama za uendeshaji na ulipaji wa mafao kwa wakati.

CPA Kashimba aliishukuru Bodi ya Wadhamini kwa usimamizi mzuri na hivyo kuufanya Mfuko huo kufanya vizuri.

“Kazi kubwa ya kusimamia zoezi hili la kuunganisha mifuko mmeifanya ninyi Bodi kwa maelekezo ya serikali, sehemu nyingi duniani wanasema karibu asilimia 85 ya kampuni zilizoungana huwa zinashindwa lakini muunganiko wetu sisi umeendelea kufanya vizuri hadi kuivutia taasisi hii kubwa kuifanya PSSSF kuwa mfano wa kuigwa.” Alisema CPA Kashimba.

Alisema tuzo hiyo ni zawadi kwa Bodi na sio Menejimenti pekee yake na Mfuko uko kwenye mikakati ya kuhakikisha unaendelea kutoa huduma bora kwa Wanachama wa Mfuko.

Akifafanua zaidi, Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma (PSSSF) Bw. James Mlowe alisema PSSSF ilikabidhiwa tuzo hiyo jijini Abidjan Ivory Coast Mei 17, 2023 na Kwamba PSSSF inatarajia kufikisha miaka mitano tangu kuundwa kwake baada ya kuunganishwa kwa mifuko (merge).

“Majukumu ya mfuko yanatekelezwa vizuri, uwezo wa mfuko unazidi kuimarika, watumishi wanazidi kuwa kitu kimoja na kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kwakweli mafanikio haya ndiyo yamewavutia ISSA kuweza kutoa tuzo hii” Alisema

About PSSSF

The main purpose is to collect contributions and payment of terminal benefits to employees of public service.The act shall apply in mainland Tanzania.


READ MORE

Quick Links

  • Billing Portal
  • Member Portal
  • Employer Portal
  • Announced Tenders

Get In touch

  • PSSSF House HQ , Makole, Dodoma
  • P.O.BOX 1501
  • info@psssf.go.tz
  • 0800 110040
  • Mon - Fri 8.00 - 17.00. Sat,Sun CLOSED

Zonal Offices

  • Dodoma: +255 26 2323338
  • Ilala: +255 22 2120912
  • Kinondoni: +255 22 2123848
  • Temeke: +255 22 2861039
  • Mwanza: +255 28 2506114
  • Mbeya: +255 25 2502243
  • Arusha: +255 27 2970284
  • Morogoro: +255 23 2934188
  • Mtwara: +255 23 2334661
  • Geita: +255 28 2520470
Copyright © 2024 psssf. All rights reserved.
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Services
  • Disclaimer