• Tupigie bure: 0800 110040
   
 
x
Mafao Yatolewayo

Tunatoa Mafao Yafuatayo Kwa Wanachama Wetu

HABARI MPYA

ELIMU YA PSSSF KIGANJANI YAWAFIKIA WANACHAMA MAONESHO YA OSHA

Meneja wa PSSSF, Kanda ya Kaskazini, Vonness Koka (Wanne kushoto) akiwaeleza namna ya kutumia Muongozo wa wanachama wa PSSSF, wakati yeye na timu ya watumishi wa Mfuko huo kutembelea mambanda ya maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, kwenye viwanja vya General Tyre, Njiro, jijini Arusha Aprili 25, 2024. Lengo ni kuwapa elimu kuhusu matumizi ya PSSSF Kiganjani. Watatu kushoto ni Afisa Mkuu wa Uhusiano PSSSF, Abdul Njaidi

Soma Zaidi